Nafasi ya Kazi: Dereva (Driver)

Muhtasari wa Kazi

TEF Consult inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Dereva mwenye weledi, uwajibikaji, na uwezo wa kuendesha magari kwa usalama na uangalifu. Muombaji atakayechaguliwa atahakikisha usalama wa abiria, mizigo, na gari, kufanya ukaguzi wa magari kabla na baada ya safari, pamoja na kutoa taarifa za matengenezo inapohitajika.

Sifa za Muombaji(Qualifications)

Mwombaji anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:

  1. Umri kuanzia miaka 25 na kuendelea.

  2. Ujuzi wa ufundi wa magari na awe na cheti cha ufundi daraja A (Mechanics Certificate).

  3. Leseni halali ya udereva yenye madaraja C na E.

  4. Cheti cha Defensive Driving kinachotambulika.

  5. Cheti cha kuendesha magari maalum (faraja ya ziada).

  6. Cheti cha NIT (National Institute of Transport) kitahesabika kama faida zaidi.

Nyaraka za Kuambatanisha (Required Documents)

Waombaji wanapaswa kuwasilisha:

  • Barua ya maombi ya kazi

  • Nakala ya leseni ya udereva

  • Nakala ya kitambulisho cha NIDA

  • CV (Curriculum Vitae)

  • Cheti cha LATRA

  • Police Clearance (Uthibitisho wa kutokuwa na makosa ya jinai)

  • Mahali ulipo kwa sasa (Current location)

Jinsi ya Kuomba

Mada ya barua (Subject): Maombi ya Kazi – Dereva (Driver)

Human Resource Manager

Tanzania Empowerment Forum Limited (TEF Consult)
 Email: info@tef.co.tz 

au kwa barua 
 P.O. Box 33542, Dar es Salaam, Tanzania
Or

Online Application:

Mwisho ni  16/ Disemba 2025.

Job Category: transport
Job Type: Full Time
Job Location: Dar es salaam

Apply for this position

Drop files here or click to uploadMaximum allowed file size is 128 MB.
Allowed Type(s): .pdf, .doc, .docx
Drop files here or click to uploadMaximum allowed file size is 128 MB.
Allowed Type(s): .pdf, .doc, .docx, .txt, .rtf, .jpg, .jpeg, .png, .gif